Thursday, July 27, 2023

TUNATOA HUDUMA YA INTERIOR DESIGN

 Tunapenda kuwatangazia kuwa kwa sasa tunatoa pia huduma ya Interior Design

Tunadesign, kutengeneza na kushauri yafuatayo

-Majiko ya kisasa(Kitchen Cabinets)

-Kabati za nguo 

-Sebule, Vyumba ikiwemo mwonekano wake, Rangi, mapambo (decoration)

Zifuatazo ni badhi ya kazi zetu

Kwa kazi hizi tupigie kwa namba 0717903089  (Whatsapp pia), Email  nyumbaboratz@gmail.com





NYUMBA YA KISASA YA VYUMBA 3

Hii ni  nyumba ya kisasa iliyosanifiwa kukidhi mahitaji ya vyumba 3,sebule, dining, jiko la kisasa lenye stoo na laundry.

Inaweza kujengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa meta 20 kwa 25.Ina sehemu ya kupack gari.
Wasiliana nasi kwa 0717903089 ama Email: nyumbaboratz@gmail.com




NYUMBA YA KISASA YA VYUMBA 4

 Hii  ni design ya nyumba ya kisasa yenye vyumba 4.

Imesanifiwa vema kuzingatia  mahitaji ya mteja ambaye angependa kuwa na nyumba yenye sitiri, nafasi ya kutosha.

Pia ina chumba kidogo cha kusomea.