Saturday, July 18, 2015

NYUMBA NDOGO KWA WANAOANZA MAISHA

Kwa wale wanaoanza maisha,ama wenye familia ndogo hii inawafaa.Ina vyumba viwili,kimoja ni master bedroom na kingine ni cha kawaida.Kuna sebule+ dining kwa pamoja,kuna jiko na stoo,kuna choo kimoja(public toilet) na nje kuna sehemu ya kuegesha gari kama inavyoonekana.Pia kuna eneo zuri la kupumzika kwenye kibaraza (verandah) .Ni nyumba ambayo mtu anayedunduliza anaweza kuishi

No comments: