Nyumba Boratz

Lengo letu ni kuhakikisha tunakuwa suluhisho kwenye kutoa huduma ujenzi kwa .Watanzania na wote wenye kuhitaji kujenga na kumiliki nyumba bora. Watanzania wengi bado hawajapata elimu ya kutosha kuhusu ujenzi, hivyo hujenga pasipo kutumia wataalamu.Ni imani yetu tutakuwa suluhisho na washindani katika kubuni teknolojia mpya na ufundi mpya kuwawezesha watanzania kupata makazi bora na nafuu.Tunafanya kazi kwa weledi. Bidii,ubunifu vinatusukuma kufanya kazi zenye kuvutia

Thursday, July 27, 2023

TUNATOA HUDUMA YA INTERIOR DESIGN

›
 Tunapenda kuwatangazia kuwa kwa sasa tunatoa pia huduma ya Interior Design Tunadesign, kutengeneza na kushauri yafuatayo -Majiko ya kisasa(...

NYUMBA YA KISASA YA VYUMBA 3

›
Hii ni  nyumba ya kisasa iliyosanifiwa kukidhi mahitaji ya vyumba 3,sebule, dining, jiko la kisasa lenye stoo na laundry. Inaweza kujengwa k...
1 comment:

NYUMBA YA KISASA YA VYUMBA 4

›
 Hii  ni design ya nyumba ya kisasa yenye vyumba 4. Imesanifiwa vema kuzingatia  mahitaji ya mteja ambaye angependa kuwa na nyumba yenye sit...
Saturday, April 28, 2018

FANGASI(KUVU ) KWENYE NYUMBA NA NAMNA YA KUONDOA TATIZO

›
Katika Makala hii tutajadili tatizo linalozikumba nyumba nyingi kwenye sehemu za unyevu, ambalo ni la kuta,ceiling, madirisha, sakafu, ...
Saturday, April 14, 2018

ELIMU KUHUSU MABATI

›
MABATI-Na Pongu J Makala hii nimeiandaa ili kukuelimisha elimu ya kawaida na muhimu kuhusu mabati,ikiwemo maneno yanayotumika k...
11 comments:
›
Home
View web version

About Me

nyumba boratz
View my complete profile
Powered by Blogger.